Saturday, May 15, 2010

WEEK END NJEMA JAMANI


jamani nawatakieni wooooote weekend njema wapenzi wangu, tukumbukane katika maombi jamani, maana hali ya sasa inatisha, tukumbuke familia zetu, waume zetu, watoto wetu, marafiki, na majirani pia,
 mie leo nina Mtoko mwenzenu,
tunaenda hukoooooo kumfundisha mwali jinsi ya kuishi na mume, asiende kutuabisha huko!!!!
hahahahahaaaaaahaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaa, kazi  kwel kwel,
nawapenda wooooote


10 comments:

  1. umependeza sana violet, nakupenda sana dada yangu, niko tabora, natamani nikuone jamani yani nakupenda sna
    kuna mambo machache nataka kujua toka kwako,
    wewe ni mtu wa wapi? (kabila gani)nijibu please,
    huyo mwali nami ningekuwa dar ningeomba kwenda, ili nikajifunze au hamruhusu kuona?
    nakupenda sana dada yangu

    ReplyDelete
  2. umependeza
    kamfundisheni akajuwe kuzungusha mauno huko, sio akalale chali kama mende, mfundisheni namana ya kuramba kama icecream na sio kuramba kama pili ya kijiti ya 150, kamfundisheni usafi wa nyeti zake, haya watu wengi wanayasahau katik kichen part, natamani ningekuwepo namimi, sasa violet siku ingine uwe unasema one week before ili nami nijipange nije, maana mimi pia ni mwalimu mzuri kabisa wa mambo yale,
    jamani KU DO kutamu jamani Lo!

    ReplyDelete
  3. hehehehe
    ww unaetaka kujua kabila la violet ili iweje? keshaolewa huyo au unataka kumtafutia kaka yako? hahahha just jokin,
    violet umependeza mpenzi,
    hilo somo nami nalitaka, tena mje mnielekeze matumizi ya shanga kiunoni maana nimeyajaza ila siwezi kuyatumia. ntakutafuta dada violet

    ReplyDelete
  4. kamfundisheni matusi huyo,
    akatombeke, asifikiri ameenda kulala huko

    ReplyDelete
  5. hehehehee munaenda kumsuta sio??? i wish ya kwangu ikifika mungu akipenda lazima nikualike uje kunifunda. Haya Mtoko mwema dada yangu mpenzi!

    ReplyDelete
  6. UNA KADOMO KAZURI DADA
    NAKUTAMANI

    ReplyDelete
  7. umependeza kwakweli, aliyekutengeneza nywele itabidi unipe namba yake, au ndio mambo ya double T saloon, tuambiane ili ikifika zamu yangu ya kufundwa nije mnirembe. . . haya!!! toka lini ukawa mfundaji???? haya kila la kheri mumpe semina nzuri jinsi ya kuukatikia mchi ulio ndani ya kinu, anajue kukiosha mara mahindi/kisamvu kitakapowiva... usisahu kumwambia aweke maji mengi anapokiosha ili baadae kiweze kutwangiwa tena

    ReplyDelete
  8. shost wewe ni mzuri, hiyo picha ungeiweka full bwana ndio ingekuwa nzuri zaidi,
    yani umependeza sana

    ReplyDelete
  9. hee my dia umekuwa kungwi!nitakuja unifunde !

    Aisha Dello

    ReplyDelete
  10. kujituma katika mchezo ndo siri ya mafanikio usijiregeze, pia ni vema kusoma hisia za mwenzio katka mavituz, usimuumize kama amechoka bali mpe kitu kwa utaratibu..

    ReplyDelete