Monday, November 19, 2012

ANATAFUTA MUME..... ALIE SERIOUS KUOA AITIKE ASEME HAPA

Habari dada. 

Mimi ni mdada wa miaka 35 nimependa kukuandikia ujumbe ili unisaidie kuuweka kwenye blog yako ili yule atakayekuwa tayari kua mume wangu tuwasiliane na mimi.   Nimefikia kuandika ujumbe huu sababu nimeona kuna baadhi ya walioandika wamefanikiwa. kwa ufupi mimi nina mtoto mmoja na ningependa mume nitakayekuwa naye hata kama akiwa na mtoto nitamkubali na kumpokea mtoto. Awe anafanya kazi au biashara ya maana. awe anamcha Mungu. awe mwenye kujali familia.Asiyevuta sigara.  Yeyote atakayekuwa tayari awasiliana na mimi kwenye email yangu hii.

email ya huyu dada siiweki hapa, maana nanjua kuna mtakaoamua kumsumbua dada wa watu, wewe kama uko serios, niinbox mimi, halafu mimi nitamforwadia huyo dada email yako.


Saturday, November 3, 2012

MPENZI WANGU ALINIACHA, AKAAMUA KUISHI NA MWANAMKE MWINGINE, SASA ANAOMBA NISAMEHE TURUDIANE, NAOMBENI USHAURI


mambo vai
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 28, cjaolewa ila nimebahatika kupata mtoto mmoja ambaye tangu amezaliwa ckuwahi kuishi na baba yake na kumlea inshort, tulishaachana

Baadae nilibahatika kumpata kijana mwingine ambaye tulipendana sana Nilijisikia furaha sana kuwa nae matokeo yake bila mm kujua kumbe alikuwa na mahusiano mengine na mwanamke ambaye alimpa ujauzito na baadae kujifungua ambapo mm nilipokuja kujua na niliumia sana, ckuumia kwa sbb ya yy kupata mtoto niliumia kwa sbb alinificha hakuwa mkweli kwangu.
 
Siku tuliyokutana alinipokea vzuri na kuomba msamaha sana kwa sbb aligundua kuwa amenikatisha tamaa na ckuwa najisikia vzuri, katika mazungumzo yetu nikamuuliza swali moja tu una mpango gani ss na huyo dada, akanijib hawezi ishi nae ktk maisha yake,jibu lake lilinipa amani tukarudiana,.

kadri siku zilivyozid kwenda nikaona anaanza kubadilika nikimpigia hapokei, msg hajib kumbe yule dada alishahamia kwake nilipojarib kumuuliza akasema ndio kwani ni dhambi yy kukaa na mwanae ? niliumia sana nikasema ngoja niachane nae na siitaji kuwasiliana nae awe free na familia yake

 juzi nimebadili cm ambayo naitumia nikaona ananzaa kunisumbua na kuomba msamaha kuwa anataka kuendelea na mm, na c mara moja kwa kuhesabu ni zaidi hata ya mara ishirini anaomba msamaha, nimekuwa cimuelewi kwa sbb kama anaishi na mtu iweje aendelee kuomba msamaha na anasubutu kusema hawezi kbs kuishi bila mm kwa yale niliyomfanyia na nilivyokuwa namjali na kumyenyekea, ameona mm ni mwanamke ambaye alikuwa naniitaji ktk maisha yake, naomba ushauri hv huyu kijana anamaanisha au ni msanii tu, ingawa bado nampenda ila nimekuwa muoga sana


Wednesday, October 31, 2012

EWE MWANAMKE, JIANDAE KUKUTANA NA WANAWAKE WENZIO TAREHE 1 DEC 2012,





Kutakuwa na chakula cha usiku, tutacheza, tutakul, Tutakunywa, tutapata mafunzo mazuri kabisa kwa ajili ya kudumisha furaha katika suala zima la mahusiano ya kimapenzi, sherehe itabase sana kwenye masuala ya BEDROOM,
Kivazi chetu siku hiyo kitakuwa ni black and gold kwa upande wa rangi, stay tuned, muda sio mrefu nitawatajia mahali itakaapofanyika,,ni nzuri sana kukutana na wenzio, kubadilishana mawazo, kushare challenges ambazo tunakutana nazo katika maisha yetu ya kila siku, hatimae kupata majibu yaliyo sahihi... vyote hivyo utavipata kwa shiling 30,000/= yako tu, unatuma kwenda namba 0757643422 M-PESA, na TIGO PESA kwa namba 0719-178 228,, hii sio ya kukosa,, karibuni

Thursday, October 25, 2012

NIMEMJUA MWANAMKE ANAETEMBEA NA MUME WANGU,, NIMEUMIA SANAAA, NAOMBENI USHAURI WENU



Habari violet,
Naombeni msaada wa maawazo yenu, nimegundua kuna mwanamke anatembea na mume wangu, mume wangu alikataaaaaa kwa mara ya kwanza, lakini baada ya kufatilllia na kuchunguza kwa muda mrefu nikaja kuhakikisha ni kweli kabisa, mwanamke anaomba msamaha kwamba wataachana na hatorudia tenaa, na mume wangu pia anasema hatorudiaa,

Nimeumia sana mwenzenu, nimeumia kupita kias, kwakuwa nilimpenda, nilimheshimu, nilimjali sana mume wangu, nilikuwa teyari kumuachia yeye kila kilicho changu, nilimsikiliza sana, sikutegemea kama atakuja kunitenda hivi, imekia kipindi najuta kwanini niliolewa nay eye,  sikutegemea kabisa kutokana na muonekano alio nao,,, details zoote za huyo mwanamke wake niko nazo, niliomba niprintiwe kupitia mitandao ya simu wanayotumia, niko nazo mkononi, staki kuamini, ninalia kama mtoto mdogo, ni bora niibiwe pesa nitatafuta, kuliko kuibiwa penzi,, nitalipata wapi,,
Nimechanganyikiwa, nataka kuondoka kwenda kwetu nikapumzike, nimwache kwanza, maana kila nikimuona Napata hasira natamani kumkaba kabisa, nimemchukia mno,,, sina amani ya kuwa nay eye, hali hii hadi lini?? Nifanyaje?

Monday, October 15, 2012

NILIWAMISSSSSSSSSSS

weekend yangu ilikuwa kama hivyo,,, tulikwua lion hotel(sinza). kulikuwa na party ya kina dada tu, kukutana, kubadilishana mawazo, kuondoa stress za maisha,,, na mwisho ni kufahamiana,,, ilipendeza sana, jiandaeni nitawaletea picha....
\

Friday, September 21, 2012

NJOONI TUZUNGUMZE--- HIVI KUNA KOSA LISILOSAMEHEKA?

binadamu kama binadamu tunakosea sana, kuna mambo mengi sana ambayo mwenzio akikufanyia especially kwenye suala la mapenzi, unaweza ukalia sanaa, ukashindwa hata kusamehe, sasa hebu njooni tuzungumze,,, hii ya kutokusamehe, iko sawa kweli?????? na kama yapo makosa yasiyo sameheka, hebu yataje hapa, tuyajue,,,, maana mimi violet Gerald, naamini kwamba makosa yoote yanaweza kusameheka, ila inategemea na jinsi wewe mwenyewe ulivyolichukuliwa,, umelipaje uzito hilo kosa ulilokosewa??????? karibuni tufundishane

Sunday, September 9, 2012

MIMI NI BIKIRA.. NIMEPATA BOYFRIEND .... JE NI SAHIHI KUNIBIKIRI




dada violet,naomba msaada wako...
mimi ni msichana wa miaka 24,nimemaliza chuo mwaka huu,bf wangu
anamiaka 23 yy yupo mwaka wa mwisho..
jaman mm nina matatizo.kwanza huyu bf simwelewi tunamiezi 8 sasa tangu
tuwe pamoja ..hatujafanya sex coz mm ni bikra ..kinachonisumbua ni kwamba
kuna kipindi tulibreak up coz most of the times tulikua
tunagombana.(nilikua namdoubt vitu ambavyo baadae nilijua hafanyi plus
nilikua cwez kucontrol hacra zangu kwake ovr vitu vidogo
anavyofanya...i took hm for granted sa hv am payin the price)
niliporudiana akawa kama hayupo into the relationship kama zaman but





kunakipindi anakua so sweet..kuna siku nilimuuliza kama ananipenda
akasema hataki kunimislead bt anachojua anafeelings kwangu..niliumia
bt nikachukulia poa...sasa anaweza kuuchuna for 3 days,ukimchunia yy
ataanza kulalamika..namejarib kumwacha  but nimeshindwa kabisa..  he
wants us tusex na mm nataka pia nifanye sex..je anadeserve kuwa my
first?pili mm jaman matiti yangu hayapo same size,ingawa ukiyaangalia
haraka huwez kujua..jaman hii ni kawaida kwa mtu at this age?pia huko
chin jaman plus pale ktkt ya makalio ni peuc(co sanaaaaaa) kuliko
rangi ya ngoz yangu,haitakua a turn off kwa mvulan wakati wa sex and z
it normal?...
...plz nisaidien....................