Saturday, March 13, 2010

MAAUMIZI YA BINAFSI YA KUFANYA KABLA HUJAAMUA KUOLEWA

Tuliangalia namna ya kuchagua mchumba, na sasa tunangalia namna ya kufanya maamuzi ambayo yatakupunguzia stress ndani ya ndoa, kwakuwa utakuwa umefanya maamuzi sahihi toka moyoni na wala hukukurupuka tu kuamua kufunga ndoa.

Remember that marriage is a holy union, so do not take into it, anything that is unclean or indecent. What do I mean by unclean? Read on. Before saying, “yes I do”, make sure that:

1. Hakuna mtu mwingine uliahidiana nae kuoana.? isije kuwa ulikuwa na mchumba huku una mwingine tena, at the end of the day, inakuwa aibu kwako, so you hv to think about it, na kama alikuwepo ni wewe sasa kufanya maamuzi sahihi, usifunge ndoa huku kunamtu umempromise ndoa, ni bora umwambie tu kwamba haiwezekani kwa sababu hizi na hizi na hizi, ili awe clear on that na wewe uwe huru coz ukweli humuweka mtu huru.

2. Ulishawahi kuolewa  mkaachana?, je  ulisha wahi kuolewa before? na kama mliachana, na umeamua kuolewa tea, huuyo anaetaka kukuoa anafahamu kwamba wewe ulishawahi kuolewa? ni vizuri akatambua hili, na kumuweka wazi yule anaetaka kukuoa.

3.Umekubali kuwa chini ya uongozi mwingine (uko tayari kufata sheria)?  Lazima ukubaliane na akili yako, kama utakuwa teyari kupunguza ikiwezekana kuacha kabisa baadhi ya tabia zako, kama ulikuwa kicheche, ndio uache utulie na mumeo, kama ulikuwa kiburi, ndio uache, kama ilikuwa huru sana kujirusha kwingi, uache, lazima ukubali vitu hivi, kwanza, na kama utaona huwez i kuacha, basi ujuwe ndoa itakushinda, hakuna mwanume anaependa kudharauliwa na mkewe, hakuana mwanaume anaependa mkewe amletee kiburi, ndio wale kila siku wanakula kibano. hivyo ni lazima uache, ufate anachotaka mume wako, kama hataki vimini basi ndio ujiandae kuvaa mavazi marefu, lakini uende ukijua utakuwa chini ya sheria, hutojiongoza kama mwanzo, na ni lazima KUTII

4. Kwanini unataka kuolewa? ni swali la kujiuliza wewe binafsi, na nilazima ujuwe jibu lake, kuna sababu nyingi, sasa wewe jiulize unataka kuolewa kwakuwa ni fassion kuwa namume, au kwakuwa anapesa nyingi, au kwa kuwa ni handsome, au kwakuwa unampenda? au kuwa unataka kupata watoto ndani ya ndoa? au kwakuwa umri umeenda sasa unataka tu uolewe tu? jibu unalo wewe uliye under someone. nalo ni la kufikiria pia, mfano mimi najua kwanini niliamua kuolewa,

5.Wazazi wa pande zote wamekubaliana na maamuzi yenu? mtu anaweza sema kwamba usijali hta wazazi wasipokupenda, hii ni mbaya sana, wazazi ni miungu wa pili duniani, na wanabaraka zao ndani ya ndoa, utajisikiaje utakapoolewa halafu wazazi wa mumeo wasikupende? ukose suppot upande wake, hawakutembelei, wanakuombea mabaya tu!? ni rahisi kusema hakuna shida, lakini kwa wanaoface shida hizi, hawana raha kabisa, kwakuwa baba/mama (wakwe ) hawakutaka, so hapa kazi inakuwa kwa mume kukaa na kuwauliza wazazi wakupe sababu zinazofanya wakukatalie kuoa binti fulani, kuna sababu zinaweza kuwa za msingi, labda kama wazazi wanafahamina na kutofauti kubwa kati yao, hakuna kinachoshindikana, kama umegundua wazazi wa mwenzio hawakupendi, ni vizuri kumwambia mchumba wako nahisi hivi, then yeye atakwambia, kabla hata hujaingia kwenye ndoa, ujuwe tabia zao hata kidogo tu, ni watu wakarimu? wana upendo kweli? au ni wakorofi? wengi huwa tunalisahau ili, hadi tukishaolewa, hilo timbwili lake, shughuri tupu!. so ni vizuri kuangalia hili.
mengine wadau wataongezea, (ZAIDI MUNGU ATUSAIDIE)





1 comment:

  1. Thanks in favor of sharing such a fastidious opinion, article is nice,
    thats why i have read it fully

    my website buy twitter followers

    ReplyDelete