Monday, May 30, 2011

NIMERUDI DEARS- THIS TIME KIPAPER KIMENITESA KIDOGO LO!



Wapendwa wangu, im back, mambo kama kawaida  sasa,  Maswali, ushauri hapa ndio mahala pake , ndio wakati muafaka kabisa, maana kidogo akili imetulia baada ya kumaliza mitihani yangu, ya 1st semester.
Karibuni sana

3 comments:

  1. Pole kwa mitihani dear, naamini mungu atakusaidia utaperform vizuri.
    karibu tena katika kutupa burudani na mafunzo sie wasomaji wako.

    ReplyDelete
  2. Tunasubiri KKW za uhair na poleh na mitihani

    ReplyDelete