Friday, December 31, 2010

I WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2011


Nawatakia wapenzi wangu wooote, heri ya mwaka mpya, Mungu  atulinde, atukumbatie, atubariki kila iitwapo leo, tukumbuke kumshukuru Mungu kwa yoote, hasa uzima tulionao, ukiangalia ni watu wengi sana walitamani na walipanga malengo meengi wayafanye mwaka 2010, lakini wamekufa, hawapo tena, 
tujiulize, sisi ni akina nani mbele za Mungu? tumempa nini Mungu hadi kutufikisha mwaka 2011??? hakuna tulichofanya isipokuwa ni kwa neema yake tu!

Tusianze mwaka tukiwa na vinyonyongo myoni mwetu juu ya maadui zetu, bali tuanze mwaka tukiwa na furaha na wooote, tusameheane tulipokosea na tulipokosewa pia,   tusihesabu makosa, tusiyaweke moyoni, tuachilie roho zetu ziwe nyepesi,  ili Mungu apate nafasi ya kutubariki, we are the Human being, kukosea/kukosewa ni kawaida kwa binadamu, haijalishi umeumzwa kiasi gani, haijalishi umeaibishwa kiasi gani, nafaham shida inakuja pale tunapojaribu kutafakari kile ulichokosewa, ambapo hata kama ni kidogo basi litakuwa kuuubwaaaaaa, NO. tusifanye hivyo, maana kisasi ni juu ya bwana.tusahau yooote yaliyotokea na tuanze mwaka mpya na MUNGU,

MUNGU AWABARIKI WOOOOTE, NA TUSHEREHEKEE MWAKA MPYA KWA FURAHA 
BYE 2010, & WELCOME 2011
NAWAPENDA SANA!!!!!!



No comments:

Post a Comment