Sunday, November 14, 2010

MAELEKEZO - JINSI YA KUTUMA MIKASA YENU KWENYE BLOG

Wapenzi wa blog yangu, kipindi cha nyuma niliwahi kuelekeza namna ya kutuma mikasa yenu ili kupata ushauri,(kwa wale wanaohitaji ushauri) sasa naona wengi mnatuma mikasa kwenye comments, ili inifikie kwa urahisi na niweze kuiedit, fanyeni hivi
1. andika mkasa wako woote, ila ni vizuri kufupisha kidogo (kuandika yale ya muhimu tu)
2. then tuma kwenye email yangu mimi, na sio kwenye comment, email yangu ni violet.gerald@yahoo.com
mkasa wako utanifikia, then mimi nitaurusha, ili upate kushauriwa, 

PAMOJA SANA!

No comments:

Post a Comment