Wednesday, April 21, 2010

DEARS

wapendwa wangu mnaonitumia sms kwamba siirushi mikasa yenu mliyotuma, nataka niwaambie kuwa sijaipata, inawezekana mkawa mmekosea email adress, coz kama mnakumbuka niliwahi kuwaambia kuwa nimebadilisha email adress, so kwa sasa natumia violet.gerald@yahoo.com , kama hamkutumia hii basi mjuwe sijaipata, mbona mikasa mingine naipata fresh tu! kama vipi angalieni vizuri mtakuwa mmekosea email adress.

No comments:

Post a Comment