email ya huyu dada siiweki hapa, maana nanjua kuna mtakaoamua kumsumbua dada wa watu, wewe kama uko serios, niinbox mimi, halafu mimi nitamforwadia huyo dada email yako.
Monday, November 19, 2012
ANATAFUTA MUME..... ALIE SERIOUS KUOA AITIKE ASEME HAPA
Habari dada.
Mimi
ni mdada wa miaka 35 nimependa kukuandikia ujumbe ili unisaidie kuuweka
kwenye blog yako ili yule atakayekuwa tayari kua mume wangu tuwasiliane
na mimi. Nimefikia kuandika ujumbe huu sababu nimeona kuna baadhi ya
walioandika wamefanikiwa. kwa ufupi mimi nina mtoto mmoja na ningependa
mume nitakayekuwa naye hata kama akiwa na mtoto nitamkubali na kumpokea
mtoto. Awe anafanya kazi au biashara ya maana. awe anamcha Mungu. awe
mwenye kujali familia.Asiyevuta sigara. Yeyote atakayekuwa tayari
awasiliana na mimi kwenye email yangu hii.
email ya huyu dada siiweki hapa, maana nanjua kuna mtakaoamua kumsumbua dada wa watu, wewe kama uko serios, niinbox mimi, halafu mimi nitamforwadia huyo dada email yako.
email ya huyu dada siiweki hapa, maana nanjua kuna mtakaoamua kumsumbua dada wa watu, wewe kama uko serios, niinbox mimi, halafu mimi nitamforwadia huyo dada email yako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Bibie wewe una vigezo gani? tuwekee picha hapo tukuone kwanza! kwa umri huo ukiweka masharti mengi utakosa mtu, na ujue wanaume wakifikia umri kama huo basi wana matatizo.
ReplyDeleteNatafuta mchumba mrembo uniandikie kwenye email address hi.
ReplyDeletehamletonglobal@yahoo.com
au nipigie kwenye namba hi, +256 772 362 917
Jina langu Mugabe
Natafuta mchumba mrembo uniandikie kwenye email address hi.
ReplyDeletehamletonglobal@yahoo.com
au nipigie kwenye namba hi, +256 772 362 917
Jina langu Mugabe
weng walagai hawana mapenz ya kwel
ReplyDeleteMI NAITWA JAMAL JUMA,NATAFUTA MWENZA,AWE MWANAMKE MTU MZIMA.MIMI NINA AGE OF 33.TUWASILIANE 0713362604
ReplyDeleteusijali mungu atakusaidia utampata mume na utatulia naye. nakutakia kheri nyingi kwani umefanya ujasiri na jambo zuri sana linalopendeza katika jamii.
ReplyDeletehttp://www.staryte.ucoz.com/