Hope uko sawa wewe pamoja na familia yako, naomba ushauri mimi ni mama mwenye mtoto mmoja baada ya uzazi nimeongezeka sana naomba unishauri nitumie njia gani ili niweze kupungua kwani hata mazoezi nimefanya lakini sipungui naomba kama kuna dawa za kupunguza uzito uniambie na wadau wengine wanipe ushauri nifanyaje ili niweze kupungua sipendi kupoteza mwonekano wangu wa zamani
(Mwenzangu, hebu tushaurini, naana sio huyo tu! hata mimi nimo, toka nijifunguwe tumbo limegoma kupungua, the days goes on utafikiri nakaribia kujifungua, tupeni mbinu za kutoa matumbo, kupunguza uzito, ili turejee maumbile yetu mazuri ya zamani, )