Naombeni
ushauri wenu wapendwa nimepata mchumba ambae yuko serios kunioa, .lakini before
kuwa na mimi aliwahi kuzaa na mzungu,
na badae wakakubaliana mwanaume
afanyiwe vacastomy, akakubali wakamfanyia, .. baadae wakatengana na huyo mzungu
ndio nikawa nae mimi,
Kweli
tunapendana sana mpenzi wangu, yani zaidi y asana, swali,,,, nikubali kuolewa
nae???? Anaweza kuja kuzaalisha tena??? Au uwezekano wa kuzalisha tena
hatakuwanao? Nataka nijuwe mapema kabla sijachuwa maamuzi, ila kwa ufupi tunapenda
sana,,,, nategemea ushauri wako dada/