Monday, July 22, 2013

KILA NINACHOONGEA NA MCHUMBA WANGU ANAENDA KUDISCUSS NA MAMA YAKE -SIPENDI , NIFANYAJE

ASANTE Violet kwa kunipatia fursa huu...
jambo moja linalonitatiza ni huu:-Mpenzi wangu  anaongea na mama yake saana.kwa nini ninaudhika?
kwa sababu anamwambia mambo yote ya kisiri ambayo bwana na bibi inafaa waongee.
kwa mfano...last time tulivyogombana ilikuwa hivi:-nilimuuliza :kwa nini ulienda town jana,ukaniambia unaenda kununua frem ya spectacles
na leo ukaniambia unaenda kuona customers town pia?akanijibu mimi nilienda kuona customers leo.jana nilienda kuleta frems nikamuuliza si ungeenda siku moja kuleta frem na kuona customers?

alivyofika nyumbani tukagombana...
baadaye akampigia mamake, akamwambia
"ananiambia nilikuwa nimeenda kupeana "tiondo"(tiondo kikwetu inamaanisha "sex)

nilishangaa sana nikajiuliza, kwani mpenzi yangu anaongea maneno haya chafu na
mammake ,, kila kitu anasema, kwanini?
hebu nishauri vile nitakavyoendelea...

Sunday, May 26, 2013

BEDROOM STRESS FREE PARTY-----


HAYA SASA,,,, WANAWAKE, MSHINDWE WENYEWE,,, TANGAZO LIMEJIELEZA KILA KITU,,, JITAHIDI USIKOSE,, KAMA WEWE NI MWANAUME UMEONA TANGAZO HILI BASI MRUHUSU MPENZI WAKO AJE AJIFUNZE MENGI KUHUSU MAHUSIANO,,,,,KUTAKUWA NA WATAALAMU KWA AJILI YA KUTUFUNZA MENGI, TUTAKULA, TUTAKUNYWA, TUTAPATA MUDA WA KUKUTANA NA WANAWAKE WENGINE, ILI TUJIFUNZE MENGI ZAIDI,,,,  KARIBUNI SANA  SANA SANAAAAA

Tuesday, May 21, 2013

nimewamiss  sana wapendwa,,, nilikuwa busy sana na kuhangaikia maisha, but now im back ,, nimekuja na kitu kipya jamani,, lakini ni kwa wanawake tu!, waliozidi miaka 18, wenye uwezo wa kujitambua na kujua nini anafanya,,,, KUNA  BARTY YA AINA YAKE  ILIYOANDALIWA NA GROUP LA BEDROOM CHINI YA UNGALIZI WA FATNER FAKHIR NA MIE MWENYEWE,,, party hii itahusu mambo ya mapenzi/ mahusiano,,, its like get togher, but ndani yake kutakuwa na mafundisho,,, mengi nitazidi kuwajulisha,, leo nimewaibia siri tu muanze kujiandaaa,,, shere yenyewe itakuwa 30/6.13,, unataka kujua ni wapi?? tutatokaje siku hiyo???? usicheze mbali, uwe unatembelea hapa mara kwa mara kupata details za kutosha,,, ewe baba, mwanaume, mlete mkeo, mpenzi wako aje ajifunze zaidi ya anavyovijua yeye,,,,

Saturday, March 30, 2013

MWANTUMU - KITCHENPARTY

HALL - MWIKA (SINZA)
COLOR- GOLD, CREAM,ORANGE,
BI HARUSI MTARAJIWA KWA SIKU HIYO.. BI MWANTUMU

MSIJALI, MAMA SHUGHURI NILIWAKILISHA

KEKI HIYO.. WAWILI KITANDANI,,, 
NIKIWA NA MARAFIKI ZANGU, KUTOKA KULIA  NI WINIFRIDA, MIMI, ANAEFATA NI DADA WA BI HARUSI, AITWA BIA ASIA,, NA KUSHOTO KWANGU KABISA NI CATHERINE

DADA ASIA AKIWA NA MARAFIKI ZAKE

WOOTE HAO NI MADADA WA BI HARUSI MTARAJIWA,,, ALOPIGA MAGOT NI MDOGO WAO ALIKUWA AKIWATUNZA DADA ZAKE .. KUPENDWA RAHA JAMANI, WENGINE WAMESHINDWA KUJIZUIA WANALIA,,, NA SIE WENYE MACHOZI YA PROMOTION, TULILIA LAKINI MACHOZI YALIKUWA YA FURAHA
TULIWAWAKILISHA WAPENZI

KILA MEZA ILIKUWA NA CAKE,,, SO MEZA YETU SISI TULIMTEUA CATHERIN ATUKATIE KEKI, TULIKULAJE???

TUNAKUTAKIA MAISHA MAME NA YENYE FURAHA  MWANTUMU

Sunday, January 6, 2013

SIJUI JINSI YA KUMBEMBELEZA MPENZI WANGU, NISAIDIENI

Habari ya kazi Voiet. Mimi ni kijana wa kiume, i have 18yrs, hadi sasa naishi Zanzibar katika wilaya ya Mjini. Nilikua nikitembelea kwa siku nyingi katika blogi zako zinazohusiana na suala zima la MAPENZI, katika utafiti wangu juu ya suala hilo, nimefaidika na mambo mengi sana yanayohusu MAPENZI, kwa mfano, jinsi ya kumpata mwanamke akupendae, pia vipi utaweza kuishi kuishi nae, na vipi munaweza kuboresha na kudumisha mapenzi yenu na mengineyo. Nashkuru sana nimefaidika kwa kiasi kikubwa sana kupitia BLOG zakoAnt Voilet.
              Ila lakini, pamoja na yote hayo, niliyoyapata kupitia BLOG zako bado mimi nina tatizo moja tu ambalo linanikwaza katika MAPENZI yote kwa ujumla, kwa kutumia TAALUMA ambayo nimeipata kupitia BLOG zako, nahisi nikitu MUHIMU sana katika MAPENZI pia inaweza ikapelekea kuachana na MPENZI wangu na ni kitu ambacho mimi sijakipanga maishani mwangu kumsaliti yeye kwani NAMPENDA.
              Tatizo langu Ant Voilet ni kwamba mimi hadi sasa bado sijajua jinsi gani ya KUMBEMBELEZA MPENZI wangu, kwani yeye kila siku ananmbia NIMBEMBELEZE wakati wa usku asa na mimi sijui kwa sababu mimi nilitaka kuyajua MAPENZI kabla ya kumpata MPENZI,aidha naliyasoma kwanza yakoje halafu ndo nikaingia,bali yeye anambia nimwambie MANENO MAZURI YA MAPENZI YENYE KUMLIWAZA WAKATI WA USIKU ANAPOTAKA KULALA, husema yeye hapati usingizi na mimi pia nimeshachoka kumdanganya, kwaiyo nakuomba Ant Voilet kwa ROHO YA UNYONGE na nainamisha kichwa changu chini na napinda magoti yangu chini na nainua mikono yangu juu kupokea MSAADA wako kwani nakuomba unisadie juu ya hilo kwani NAMPENDA ZAIDI YA ANAVYOFIKRIA na sitaki nimpoteze. Pia nimeshamuahidi Mungu ikiwa hatochukua roho ztu nitakuja kufunga nae NDOA.

                                                          Ni matumaini yangu yakua ombi limefanikiwa
na litajibiwa.
                                                                                        Ant Voilet ndio tumaini langu la pekee.

Thursday, January 3, 2013

MNISAMEHE KWA UKIMYA TAKRIBAN MWEZI MMOJA WAPENDWA

HAPPY NEW YEAR WAPENDWA WANGU WOOOTE, mnisamehe kwa ukimywa wangu jamani, nilisafiri nilienda dodoma kusheherekea sikukuu zangu zoote huko,, nimerudi salama,, poleni kwa kuwasahau jaman,,, mlionitumia post za kuomba ushauri nimeziona wapendwa, nitapost moja baada ya ingine, ila zooote zitapostiwa wapenzi...... thawa eee, MISS YOU SANAAAAA YANI SANAAAAAA