Habari ya kazi Voiet. Mimi ni kijana wa kiume, i have 18yrs, hadi
sasa naishi Zanzibar katika wilaya ya Mjini. Nilikua nikitembelea kwa
siku nyingi katika blogi zako zinazohusiana na suala zima la MAPENZI, katika utafiti wangu juu ya suala hilo, nimefaidika na mambo mengi sana yanayohusu MAPENZI, kwa
mfano, jinsi ya kumpata mwanamke akupendae, pia vipi utaweza kuishi
kuishi nae, na vipi munaweza kuboresha na kudumisha mapenzi yenu na
mengineyo. Nashkuru sana nimefaidika kwa kiasi kikubwa sana kupitia BLOG
zakoAnt Voilet.
Ila lakini, pamoja na yote hayo,
niliyoyapata kupitia BLOG zako bado mimi nina tatizo moja tu ambalo
linanikwaza katika MAPENZI yote kwa ujumla, kwa kutumia TAALUMA ambayo
nimeipata kupitia BLOG zako, nahisi nikitu MUHIMU sana katika MAPENZI
pia inaweza ikapelekea kuachana na MPENZI wangu na ni kitu ambacho mimi
sijakipanga maishani mwangu kumsaliti yeye kwani NAMPENDA.
Tatizo langu Ant Voilet ni kwamba mimi hadi sasa bado sijajua jinsi
gani ya KUMBEMBELEZA MPENZI wangu, kwani yeye kila siku ananmbia
NIMBEMBELEZE wakati wa usku asa na mimi sijui kwa sababu mimi nilitaka
kuyajua MAPENZI kabla ya kumpata MPENZI,aidha naliyasoma kwanza yakoje
halafu ndo nikaingia,bali yeye anambia nimwambie MANENO MAZURI YA MAPENZI YENYE KUMLIWAZA WAKATI WA USIKU ANAPOTAKA KULALA, husema
yeye hapati usingizi na mimi pia nimeshachoka kumdanganya, kwaiyo
nakuomba Ant Voilet kwa ROHO YA UNYONGE na nainamisha kichwa changu
chini na napinda magoti yangu chini na nainua mikono yangu juu kupokea
MSAADA wako kwani nakuomba unisadie juu ya hilo kwani NAMPENDA ZAIDI YA
ANAVYOFIKRIA na sitaki nimpoteze. Pia nimeshamuahidi Mungu ikiwa
hatochukua roho ztu nitakuja kufunga nae NDOA.
Ni matumaini yangu yakua ombi limefanikiwa na litajibiwa.
Ant Voilet ndio tumaini langu la pekee.