Monday, March 26, 2012
Thursday, March 1, 2012
NAHITAJI KUOLEWA SASA- ILA SIPATI WACHUMBA WALIO SERIOUS KUOA,
Habari dada Violeth,mimi ni mpenzi wa blog yako,niliona ukitaka kumshauri yule dada ambaye hajaolewa akiwa na miaka 32.Nami nimeona si vibaya nikiomba ushauri kwako.Mimi ni binti ninaekaribia miaka 30,
ninapata wanaume lakini malengo yao yanakua sio mazuri,kiukweli nimechoka kua single natamani kuolewa lakini bado sijapata mwanaume wa kunioa.Sasa nimeanza kwenda kwenye mikesha na kuhudhuria semina mbalimbali za kiroho.
Mbali na kufanya hivyo je ni kitu gani kingine napaswa kufanya? Hope kusikia toka kwako.
Mbali na kufanya hivyo je ni kitu gani kingine napaswa kufanya? Hope kusikia toka kwako.
Subscribe to:
Posts (Atom)