Thursday, December 29, 2011

SISIKII RAHA NINAPOFANYA MAPENZI- MAUMBILE YANGU YANAKUWA MAKAVU SANA- NIFANYAJE?


hellow dada yangu  nina matatizo naomba unisaidie sababu napata tabu saanaa... hua napita sana ktk blog yako  ndo nikaipata e-mail yako ndo nimeamua nikujushe hapa ili nipate ufumbuzi ktk shida yangu..
mimi ninamchumba wangu tunapendana ssanna. Tatizo tunapofanya mapenzi  hua napata maumivu makali sanna sehemu  ya uke wangu inakua kavu ssanna  hata yeye mchumba wangu hua ananiambia hajiskii raha  

sasa dada yangu na washauri wengine naombeni mniambie  nifanyaje ili uke wangu uwe na unato ili mie nifurahie mapenzi na mpenzi wangu nae afurahie tendo hilo???

ninapo pata maumivu basi hua mchumba wangu anakataa kuendelea na tendo hilio coz hua ananiambia hawezi kuendelea wakati mimi naumia, ananihurumia sana


mapenzi ni starehe  hivyo ili kumridhisha huwa ananiomba nampizishe na mkono  basi hua namchezea na mkono wangu mpaka anapiz sasa hio kweli si hatari ssanna au haina athari yoyote baadae??

ntakushkuru ssanna dada yangu kwa ushauri utakonipa




Wednesday, December 21, 2011

HATUJAFUNGA NDOA, AMESHAPUNGUZA MAPENZI KWANGU, TUKIFUNGA NDOA TUTAISHI KWA AMANI KWELI???


mimi ni msichana ambaye ninaishi na mwanaume japo hatujafunga ndoa ila tulilazimika kukaa wote baada ya mimi kushika mimba na sasa tuna mtoto.
tatizo langu ni kwamba huyu kaka hana tena mapenzi na mimi kama ilivyokuwa hapo mwanzo kwani hanijali, hanithamini, japo hela ya matumizi nyumbani anatoa kama kawaida ila yale mapenzi ya mtu na mkewe hana kabisa





Anajibu majibu ya kimkato tu! Kuongozana na mimi ni kama hajisikii, unakuta hata kwenda kanisani anatangulia, mimi ananiacha, yani kifupi amekuwa na tabia ambazo wala sizielewi 

mfano katika swala la mapenzi mimi nisipoanza kumuomba tufanye tendo la ndoa hata mwezi unaweza kupita bila yeye kuniambai chochote na mbaya zaidi ameshatoa mahari kwetu na mwakani tulikuwa tunatarajia tufunge ndoa.


 

sasa jamani kuna tutaishi kweli kwa staili hiii  kweli hapo au najindanganya tu mwenzenuuuuuuuuu. naombeni ushauri wenu wadau kabla sijaingia kwenye kifungo cha ndoa cha milele

.

Monday, December 12, 2011

HAKUNIAMBIA KAMA ANA MTOTO WAKATI TUKO WACHUMBA- AMESHANIOA NDIO ANASEMA ANA MTOTO NJE YA NDOA, NIFANYAJE??


Habari dada violet natumaini mzima , nina miaka 26, naomba ushauri nimeolewa miezi mitatu iliyopita, nimekuwa kwenye uhusiano na mume wangu mwaka mmoja na nusu kabla ya kufunga ndoa,

kinachonisababisha niombe ushuri ni hivi karibuni mume wangu kaniambia ana mtoto wa miaka saba jambo lililonifanya nishtuke sana, anaomba msamaha kwa kutokuniambia muda wote huo, nilimuamini sana,

sasa hili limenifanya nianze kutomuamini na roho inaniuma kwani sikutaka kuolewa na mtu mwenye mtoto, coz sitaki kuwa na mtoto wa kambo, ndoa yangu ni ya kikristo, sihitaji kumchukua mtoto kwani c kosa lake, lakini hili limeweka jeraha moyoni kiasi

mdau wako from
arusha




Saturday, December 3, 2011

KWA WENYE NWELE ZENU- (MY HAIR STYLE HIZO HAPO,) UNARUHUSIWA KUIGA,


Style ya nywele ukiinama kichwani, sijui niitaje, this style anasuka mtu yeyote, mwenye nywele fupi na ndefu

u  see

hii nayo sijui tuite kiduku, sijui tuiteje, katikati yeboyebp pembeni mabutu

umeona eeeee

some times nikiamua mwenyewe nazitimua kama hivyo unavyoona

hii nayo sijui nisemaje, unapanga style ya malinda kichwani, kama hapa kati inavyoonekana, then mwisho unaziachia


hii ya kawaida tu, yebo kubwa na ndogo,

nimependezaje????