hellow dada yangu nina matatizo naomba unisaidie sababu napata tabu saanaa... hua napita sana ktk blog yako ndo nikaipata e-mail yako ndo nimeamua nikujushe hapa ili nipate ufumbuzi ktk shida yangu..
mimi ninamchumba wangu tunapendana ssanna. Tatizo tunapofanya mapenzi hua napata maumivu makali sanna sehemu ya uke wangu inakua kavu ssanna hata yeye mchumba wangu hua ananiambia hajiskii raha
sasa dada yangu na washauri wengine naombeni mniambie nifanyaje ili uke wangu uwe na unato ili mie nifurahie mapenzi na mpenzi wangu nae afurahie tendo hilo???
ninapo pata maumivu basi hua mchumba wangu anakataa kuendelea na tendo hilio coz hua ananiambia hawezi kuendelea wakati mimi naumia, ananihurumia sana
mapenzi ni starehe hivyo ili kumridhisha huwa ananiomba nampizishe na mkono basi hua namchezea na mkono wangu mpaka anapiz sasa hio kweli si hatari ssanna au haina athari yoyote baadae??